Nov 28, 2013

Nov 25, 2013

Check alivyoahidi AmmyChiba (Amina Chibaba) wa EBSS kuhusu yeye kufika alipo, ilikuwa Audition za Mbeya akilonga na Abby

Ammina Chibaba aliyeingia FINAL katika mashindano haya ya EBSS 2013, bado anahitaji kura yako ili kufanikisha alichokusudia.. VIDEO hii alikuwa anaongea na Abraham Abby NM wa ABRANGULA blog.. Checknayo kisha endelea kuandika KURA 03 kisha tuma kwenda namba 15530

Nov 20, 2013

NU Audio & Video: Kala Ft Nay Lee "WALE WALE"

DIAMOND Platnumz akanusha story zilizosambaa kuwa anatarajia kufanya show nchini Belgium Tar. 7

Katika ukurasa wake wa FaceBook, Diamond ameandika hivii...
!!! ATTENTION!!! kuna taarifa zinazidi kuenea kuwa Tareh 07/12/2013 eti nitakuwa na Show mjini Brussels nchini Belgium... taarifa hizi ni za UONGO! Yaani SIKWELI!! sina makubaliano na mtu wala kampuni yoyote kuhusu kufanya show Tareh hiyo nchini humo.... so Washabiki zangu pendwa tafadhari chunga msiibiwe, mimi sintokuwepo..

Nov 15, 2013

PICS:Hizi ni zaidi ya Catoon, EAC siisomi..

Mourad wa Azam: Siamini kuitwa TAIFA STARS


BEKI wa kati wa Azam FC, Said Mourad maarufu kama ‘Mweda’, amesema kuwa hakutarajia kabisa kuitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, baada ya kuumia kifundo cha mguu wakati akiichezea timu ya pili ya taifa.
Mourad ameeleza kuwa ameumia kifundo cha mguu ambacho aligongwa na Sure Boy, Salum Abubakar wa Azam, ambaye pia alichezea Taifa Stars.

Nov 12, 2013

VIDEO: Hope Samwel, ABUDU na huyu kaka katika mpya hii kutoka kwake, Enjoy da Video...

Anaitwa Mwinjilisti HOPE SAMWEL MWAMAKULA, Ni moja kati yaWaimbaji wa dini walowahi kuvuma na nyimo kama Uhimidiwe Jehova iliyokuwa katika Album yake iliyopita AMEKUONA.

Wimbo huu wa KUABUDU unaitwa BWANA YESU NAKUPENDA na hii ni VIDEO ya huo wimbo.. Bofya kitufe cha hapo katikat kuitazama...

Zifuatazo ni moja kati ya Picha zilizotokana na Video hiyo. Bofya STORY ZAIDI>> Kuziona.

Nov 11, 2013

NeyLee kapata SHAVU, anapiga ngoma moja na Kala Jeremiah, Video na Audio Date of 20th

Ni ngoma mpya ya Kala Jeremiah inaitwa WALEWALE, itatoka pamoja na Audio yake tarehe 20.11.2013. Stay Tuned...

NU VIDEO: Walter Chilambo "MiNiWako" (Official)

MSHINDI wa EBSS mwaka jana, Walter Chilambo, ambaye amevuma kwa vibao vyake vikali mwaka huu SIACHI na DORO, Kwa mara ya kwanza ameachia New Track wic Video "MI NI WAKO"
ENJOY da Good MUSIC.

Nov 10, 2013

Hii ni zaidi ya Catoon: 1st round VPL Imeeisha hivi

SIKU moja baada ya mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kumalizika, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limezipongeza timu 14 zinazoshiriki ligi hiyo kutokana na kuonesha ushindani mkubwa.
Check na hii CATOON, Vinara walivyoshushwa na YANGA..

NU Track: Kutoka kwa Abdu Kiba "KABIBI"

Basi njoo Kabibi wangu, mimi kuimba nitaacha, wewe nndio chaguo langu usiseme noo, HAYO ni baadhi ya mashairi katika NU hit hiyo ya m2 mzima Abdu Kiba ambayo inakuja hivi karibuni kutoka Mazoo Rec.
Track hii tayari ina Cover 2, kuziona Bofya HAPA!!

NI PENZI: Kutokakwa Damian Soul Feat. Joh!


PIC: Hii ni kuhusu mechi iliyopita tuu

Hii ni kuhusu mechi iliyopita tuu, hakuna lolote la ziada nadhani kila kitu unakijua.

Etii: KASEJA huyu hapa Yanga, baada ya kunuka Simba, atapoka zaidi ya M


Yanga imeingia Mkataba wa miaka miwili na Juma Kaseja baada ya kutemwa Simba mwishoni mwa msim uliopita, kwa madai kiwango chake kimeshuka.

Nov 7, 2013

EERY DAY of ze Week: 1pm to 4pm 92.7Mhz


Stewart Hall: Kocha wa AZAM abwaga manyanga

STEWART ABWAGA MANYANGA: Kocha Mkuu wa Azam, Stewart Hall ameachana na Klabu hiyo rasmi leo muda mfupi baada ya mechi na Mbeya City, uongozi wa Azam umeridhia kuondoka kwake, mwenyewe adai amepata timu nyingine ya kufundisha.

Comming Soon: Water Chilambo "MiNiWako" Video

Pic: Hii ni Zaidi ya Catoon: 07/11/2013 #TheCitizen

NU Video: Ney wa Mitego feat. Neyba "SALAM ZAO"

Kutoka kwa Ney wa Mitego, ngoma iliyozua gumzo kitaa, SALAM ZAO Video yakehii hapa... Ilikuwa noma baada ya mgogoro wake na Madam Rita ambapo ilitegemewa kuwa Ney angeweza kufikishwa katika vyombo vya sheria lkn hakupata woga kama kawaida yake.. Enjoy Good Music via AbraSon blog.

VIDEO: Toka kwenye kampuni ya MakeTee, SHARUBU ZA BABU ya Inspector Horoun hii hapa...

HUYU ndio msanii mpya chini ya D Banji


Msanii kutoka Nigeria anaye simamiwa na Kanye West kupitia Good Music D'Banj amewahi kusema kuwa anampango wa kuanza kutoa vipaji vipya nchini Nigeria na akipata msanii anaye mkubali atamsaidia.

NU: AdaMoe feat. Wasadikaya "HABARI HALALI"

Nov 6, 2013

Hawa ndio 6 waliobaki EBSS 2013, Endelea kumpigia kura mshiriki umpendaye ili kumuwezesha kushinda

Hawa ndio washiriki sita waliobakia kwenye EBSS. Endelea kumpigia kura mshiriki umpendaye ili kumuwezesha kushinda.

Nov 3, 2013

Enjoy n NU Video: WAKAZI - TOUCH (Official)

WAKAZI has finally released his new VIDEO for TOUCH. The Tanzanian EMCEE debuted the song during his Big Brother Africa the Chase Eviction show performance earlier in July and Since then, The song has been blazing the Charts across AFRICA.

NU Tack: Shabiki wa Noorah inakuhusu hii

Time yoyote kutoka sasa brand new single ya Noorah itaanza kusikika kwenye airwavez baada ya mkali huyu kukaa kimya kwa muda kutokana pia na maombolezo ya mwana chamber mwenzake marehem Albert Mangweha.
Noorah ameamua kurudi kwenye game ambapo anatambulisha single yake mpya inaitwa ‘acha ushamba’ ambayo amemshirikisha Duly Sykes na Chege kupitia mikono ya Producer Mbezi.

Nov 2, 2013

NU Audio: Chid Benz n Nonini "Zipi Zoo"


Mmoja toka Tanzania ChidiBeenz (King Kong) and Off course Nonini (Raprenuer), should this two guys do an Album Together. Remember Chidi benz featured Nonini on his single Get Down. Now Nonini has returned the favour and Featured Chidi benz on a brand new track from his latest album dubbed (Mdundo za Kibiashara). Sample the new single called Zipizoo and let me now what you think about this duo.

NU Audio: KAVA MWAFRIKA "SINUNUI USHINDI"..

Angalia matokeo ya Darasa la 7 2013 kwa kubofya wilaya hizi za Mbeya..

BUSOKELO            CHUNYA          ILEJE             KYELA        MBARALI         MBEYA MJINI        MBEYA VIJIJINI      MBOZI            MOMBA               RUNGWE

EXCLUSIVE: Matokeo Darasa la SABA 2013 haya hapa! Standard 7 2013 Exams Results Here...

Kuangalia matokeo haya bofya HAPA kisha fuata MKOA wako, then Wilaya unayoitaka. halafu utachagua shule na kuona majina katika mtandao wa NECTA.

Nov 1, 2013

Jamaa aliyebaka SouthAfrika, JELA maisha..

Mwanamume mmoja nchini Afrika Kusini aliyepatikana na hatia ya ubakaji na mauaji ya msichana mwenye umri wa miaka 17 amepewa hukumu mbili za maisha jela na mahakama moja viungani mwa mji wa Cape Town.
Viongozi wa mashitaka walitaka mshukiwa Johannes Kana afungwe jela maisha bila dhamana ikiwa Afrika Kusini ni nchi mojawapo yenye visa vingi vya ukatili wa kijinsia duniani.Marehemu Anene Booysen alifariki mwezi Februari , masaa kadhaa baada ya kuuawa kinyama katika kesi ambayo imewaghadhabisha wengi.

12 Pics: CAR 4 SALE, Gari ya kutembelea hii hapa, 16. Mil only MPYAAA! Inaingia Tzee next week..

CAR COME NEXT WEEK OUT OF THE PORT
COME PAY AND DRIVE!!!
SUZUKI ESCUDO 2004
Year 2004, 217 000 km, silver, 4WD

PRICE: 16, 200, 000 Tsh,
THE FIRST PEOPLE WHAT COME IN THE OFFICE, GET THIS CAR!!!! WE DON'T RESERVATION THIS CAR!!! Bofya kitufe cha STORY ZAIDI hapo chini Kucheck picha zaidi..

PICHA: Check na Mpya hii 4rm Wedding doves 2013

Wasiliana nasi kupitia T: 0713 533 938

NU Audio: WaKaZi "Wanawake wa Dar" (Love Hate Freestyle) Chek na atakayekufaa..

NU VIDEO: R.O.M.A Mkatoliki "2030" (Official)

Video iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki na wapenzi wa muziki wa Bongo Flavour imetoka, ni 2030 ya R.O.M.A ambayo track yake imekuwa GUMZO kita mpaka NOW  ukiiskiza lazima ukae na kufikilia huyu jamaa kawaza nini na kwa nini anakosa WOGA.
Angali hapa kupitia AbraSon blog hapa!

VIDEO: Huyu ndio mtoto mwenye hisia, anaelia kila akiimbiwa huu wimbo, video yake imetazamwa zaidi ya mara milioni 15

Kutokana na udogo wa huyu mtoto na jinsi hisia zinavyomteka mpaka kuanza kutoa machozi kutokana na mama yake kuimba nyimbo ndio kilichofanya kila mmoja akimbilie kuitazama video hii na kufikia kutazamwa zaidi ya mara milioni 15 na laki 8 toka imewekwa October 18 2013.

NU AUDIO: Cindy Rulz "LETS WAIT" Skiliza hapa

Hatimaye ile ngoma tuliyokuwa tukiisubiri kwa hamu kutoka kwa female rapper maarufu kama Cindy Rulz inayoitwa "LETS WAIT", ambayo amemshirikisha producer Dunga imeshatoka tayari.

Chukua dakika zako chache za kuweza kuisikiliza ngoma hii hapa chini.