Oct 17, 2013

MUHTASARI WA HABARI JANA HIGHLANDS FM


Mkazi wa kijiji cha malangali wilaya ya rungwe mkoani mbeya  maiko williad ameuawa kwa kukatwa mapanga kichwani na kisha mwili wake kutupwa msituni.

HII NDIO ORODHA YA WASHINDI WA TUZO ZA BET HIP HOP.. Kendrick Lamar kasepa na Tuzo 5

Kendric Lamar ameongoza kwa kuchukua Tuzo 5 katika Tuzo za Hip Hop za BET mwaka 2013
Orodha Ya Washindi Na Tuzo Ziko Hapa: