Jul 25, 2013

Again and Again. EBSS 2013 This is KHALIFA JUMA

Nawashukuru sana watu wangu walonipa MOYO  hadi kushiriki EBSS Mbeya mwaka huu na nimefanikiwa kupita round 2 za kwanza na sasa nasubiri safari ya kwenda Dar kwa ajili ya kukutana na wengine 49 kukamilisha top 50 ili kuendelea na mashindano hayo.. Hayo ni maneno ya Khalifa Juma baada ya kupita kwa Mbeya...