Nov 10, 2013

Hii ni zaidi ya Catoon: 1st round VPL Imeeisha hivi

SIKU moja baada ya mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kumalizika, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limezipongeza timu 14 zinazoshiriki ligi hiyo kutokana na kuonesha ushindani mkubwa.
Check na hii CATOON, Vinara walivyoshushwa na YANGA..