Nov 7, 2013

EERY DAY of ze Week: 1pm to 4pm 92.7Mhz


Stewart Hall: Kocha wa AZAM abwaga manyanga

STEWART ABWAGA MANYANGA: Kocha Mkuu wa Azam, Stewart Hall ameachana na Klabu hiyo rasmi leo muda mfupi baada ya mechi na Mbeya City, uongozi wa Azam umeridhia kuondoka kwake, mwenyewe adai amepata timu nyingine ya kufundisha.

Comming Soon: Water Chilambo "MiNiWako" Video

Pic: Hii ni Zaidi ya Catoon: 07/11/2013 #TheCitizen

NU Video: Ney wa Mitego feat. Neyba "SALAM ZAO"

Kutoka kwa Ney wa Mitego, ngoma iliyozua gumzo kitaa, SALAM ZAO Video yakehii hapa... Ilikuwa noma baada ya mgogoro wake na Madam Rita ambapo ilitegemewa kuwa Ney angeweza kufikishwa katika vyombo vya sheria lkn hakupata woga kama kawaida yake.. Enjoy Good Music via AbraSon blog.

VIDEO: Toka kwenye kampuni ya MakeTee, SHARUBU ZA BABU ya Inspector Horoun hii hapa...

HUYU ndio msanii mpya chini ya D Banji


Msanii kutoka Nigeria anaye simamiwa na Kanye West kupitia Good Music D'Banj amewahi kusema kuwa anampango wa kuanza kutoa vipaji vipya nchini Nigeria na akipata msanii anaye mkubali atamsaidia.

NU: AdaMoe feat. Wasadikaya "HABARI HALALI"

Nov 6, 2013

Hawa ndio 6 waliobaki EBSS 2013, Endelea kumpigia kura mshiriki umpendaye ili kumuwezesha kushinda

Hawa ndio washiriki sita waliobakia kwenye EBSS. Endelea kumpigia kura mshiriki umpendaye ili kumuwezesha kushinda.

Nov 3, 2013

Enjoy n NU Video: WAKAZI - TOUCH (Official)

WAKAZI has finally released his new VIDEO for TOUCH. The Tanzanian EMCEE debuted the song during his Big Brother Africa the Chase Eviction show performance earlier in July and Since then, The song has been blazing the Charts across AFRICA.

NU Tack: Shabiki wa Noorah inakuhusu hii

Time yoyote kutoka sasa brand new single ya Noorah itaanza kusikika kwenye airwavez baada ya mkali huyu kukaa kimya kwa muda kutokana pia na maombolezo ya mwana chamber mwenzake marehem Albert Mangweha.
Noorah ameamua kurudi kwenye game ambapo anatambulisha single yake mpya inaitwa ‘acha ushamba’ ambayo amemshirikisha Duly Sykes na Chege kupitia mikono ya Producer Mbezi.

Nov 2, 2013

NU Audio: Chid Benz n Nonini "Zipi Zoo"


Mmoja toka Tanzania ChidiBeenz (King Kong) and Off course Nonini (Raprenuer), should this two guys do an Album Together. Remember Chidi benz featured Nonini on his single Get Down. Now Nonini has returned the favour and Featured Chidi benz on a brand new track from his latest album dubbed (Mdundo za Kibiashara). Sample the new single called Zipizoo and let me now what you think about this duo.

NU Audio: KAVA MWAFRIKA "SINUNUI USHINDI"..

Angalia matokeo ya Darasa la 7 2013 kwa kubofya wilaya hizi za Mbeya..

BUSOKELO            CHUNYA          ILEJE             KYELA        MBARALI         MBEYA MJINI        MBEYA VIJIJINI      MBOZI            MOMBA               RUNGWE

EXCLUSIVE: Matokeo Darasa la SABA 2013 haya hapa! Standard 7 2013 Exams Results Here...

Kuangalia matokeo haya bofya HAPA kisha fuata MKOA wako, then Wilaya unayoitaka. halafu utachagua shule na kuona majina katika mtandao wa NECTA.

Nov 1, 2013

Jamaa aliyebaka SouthAfrika, JELA maisha..

Mwanamume mmoja nchini Afrika Kusini aliyepatikana na hatia ya ubakaji na mauaji ya msichana mwenye umri wa miaka 17 amepewa hukumu mbili za maisha jela na mahakama moja viungani mwa mji wa Cape Town.
Viongozi wa mashitaka walitaka mshukiwa Johannes Kana afungwe jela maisha bila dhamana ikiwa Afrika Kusini ni nchi mojawapo yenye visa vingi vya ukatili wa kijinsia duniani.Marehemu Anene Booysen alifariki mwezi Februari , masaa kadhaa baada ya kuuawa kinyama katika kesi ambayo imewaghadhabisha wengi.

12 Pics: CAR 4 SALE, Gari ya kutembelea hii hapa, 16. Mil only MPYAAA! Inaingia Tzee next week..

CAR COME NEXT WEEK OUT OF THE PORT
COME PAY AND DRIVE!!!
SUZUKI ESCUDO 2004
Year 2004, 217 000 km, silver, 4WD

PRICE: 16, 200, 000 Tsh,
THE FIRST PEOPLE WHAT COME IN THE OFFICE, GET THIS CAR!!!! WE DON'T RESERVATION THIS CAR!!! Bofya kitufe cha STORY ZAIDI hapo chini Kucheck picha zaidi..

PICHA: Check na Mpya hii 4rm Wedding doves 2013

Wasiliana nasi kupitia T: 0713 533 938

NU Audio: WaKaZi "Wanawake wa Dar" (Love Hate Freestyle) Chek na atakayekufaa..

NU VIDEO: R.O.M.A Mkatoliki "2030" (Official)

Video iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki na wapenzi wa muziki wa Bongo Flavour imetoka, ni 2030 ya R.O.M.A ambayo track yake imekuwa GUMZO kita mpaka NOW  ukiiskiza lazima ukae na kufikilia huyu jamaa kawaza nini na kwa nini anakosa WOGA.
Angali hapa kupitia AbraSon blog hapa!

VIDEO: Huyu ndio mtoto mwenye hisia, anaelia kila akiimbiwa huu wimbo, video yake imetazamwa zaidi ya mara milioni 15

Kutokana na udogo wa huyu mtoto na jinsi hisia zinavyomteka mpaka kuanza kutoa machozi kutokana na mama yake kuimba nyimbo ndio kilichofanya kila mmoja akimbilie kuitazama video hii na kufikia kutazamwa zaidi ya mara milioni 15 na laki 8 toka imewekwa October 18 2013.

NU AUDIO: Cindy Rulz "LETS WAIT" Skiliza hapa

Hatimaye ile ngoma tuliyokuwa tukiisubiri kwa hamu kutoka kwa female rapper maarufu kama Cindy Rulz inayoitwa "LETS WAIT", ambayo amemshirikisha producer Dunga imeshatoka tayari.

Chukua dakika zako chache za kuweza kuisikiliza ngoma hii hapa chini.

Oct 17, 2013

MUHTASARI WA HABARI JANA HIGHLANDS FM


Mkazi wa kijiji cha malangali wilaya ya rungwe mkoani mbeya  maiko williad ameuawa kwa kukatwa mapanga kichwani na kisha mwili wake kutupwa msituni.

HII NDIO ORODHA YA WASHINDI WA TUZO ZA BET HIP HOP.. Kendrick Lamar kasepa na Tuzo 5

Kendric Lamar ameongoza kwa kuchukua Tuzo 5 katika Tuzo za Hip Hop za BET mwaka 2013
Orodha Ya Washindi Na Tuzo Ziko Hapa: