Nov 10, 2013
Etii: KASEJA huyu hapa Yanga, baada ya kunuka Simba, atapoka zaidi ya M
Yanga imeingia Mkataba wa miaka miwili na Juma Kaseja baada ya kutemwa Simba mwishoni mwa msim uliopita, kwa madai kiwango
chake kimeshuka.
Nov 8, 2013
Nov 7, 2013
Stewart Hall: Kocha wa AZAM abwaga manyanga
STEWART ABWAGA MANYANGA: Kocha Mkuu wa Azam, Stewart Hall ameachana na Klabu hiyo rasmi leo muda mfupi baada ya mechi na Mbeya City, uongozi wa Azam umeridhia kuondoka kwake, mwenyewe adai amepata timu nyingine ya kufundisha.
NU Video: Ney wa Mitego feat. Neyba "SALAM ZAO"
Kutoka kwa Ney wa Mitego, ngoma iliyozua gumzo kitaa, SALAM ZAO Video yakehii hapa... Ilikuwa noma baada ya mgogoro wake na Madam Rita ambapo ilitegemewa kuwa Ney angeweza kufikishwa katika vyombo vya sheria lkn hakupata woga kama kawaida yake.. Enjoy Good Music via AbraSon blog.
HUYU ndio msanii mpya chini ya D Banji
Msanii kutoka Nigeria anaye simamiwa na Kanye West kupitia Good Music D'Banj amewahi kusema kuwa anampango wa kuanza kutoa vipaji vipya nchini Nigeria na akipata msanii anaye mkubali atamsaidia.
Nov 6, 2013
Hawa ndio 6 waliobaki EBSS 2013, Endelea kumpigia kura mshiriki umpendaye ili kumuwezesha kushinda
Hawa ndio washiriki sita waliobakia kwenye EBSS. Endelea kumpigia kura mshiriki umpendaye ili kumuwezesha kushinda.
Nov 4, 2013
Nov 3, 2013
Enjoy n NU Video: WAKAZI - TOUCH (Official)
WAKAZI has finally released
his new VIDEO for TOUCH. The Tanzanian EMCEE debuted the song during his Big Brother Africa the Chase Eviction show performance earlier in July and Since
then, The song has been blazing the Charts across AFRICA.
NU Tack: Shabiki wa Noorah inakuhusu hii
Time yoyote kutoka sasa brand new single ya Noorah itaanza kusikika kwenye airwavez baada ya mkali huyu kukaa kimya kwa muda kutokana pia na maombolezo ya mwana chamber mwenzake marehem Albert Mangweha.
Noorah ameamua kurudi kwenye game ambapo anatambulisha single yake mpya inaitwa ‘acha ushamba’ ambayo amemshirikisha Duly Sykes na Chege kupitia mikono ya Producer Mbezi.
Nov 2, 2013
NU Audio: Chid Benz n Nonini "Zipi Zoo"
Mmoja toka Tanzania ChidiBeenz (King Kong) and Off course Nonini (Raprenuer), should this two guys do an Album Together. Remember Chidi benz featured Nonini on his single Get Down. Now Nonini has returned the favour and Featured Chidi benz on a brand new track from his latest album dubbed (Mdundo za Kibiashara). Sample the new single called Zipizoo and let me now what you think about this duo.
EXCLUSIVE: Matokeo Darasa la SABA 2013 haya hapa! Standard 7 2013 Exams Results Here...
Kuangalia matokeo haya bofya HAPA kisha fuata MKOA wako, then Wilaya unayoitaka. halafu utachagua shule na kuona majina katika mtandao wa NECTA.
Nov 1, 2013
Jamaa aliyebaka SouthAfrika, JELA maisha..
Mwanamume mmoja nchini Afrika Kusini aliyepatikana na hatia ya ubakaji na mauaji ya msichana mwenye umri wa miaka 17 amepewa hukumu mbili za maisha jela na mahakama moja viungani mwa mji wa Cape Town.
Viongozi wa mashitaka walitaka mshukiwa Johannes Kana afungwe jela maisha bila dhamana ikiwa Afrika Kusini ni nchi mojawapo yenye visa vingi vya ukatili wa kijinsia duniani.Marehemu Anene Booysen alifariki mwezi Februari , masaa kadhaa baada ya kuuawa kinyama katika kesi ambayo imewaghadhabisha wengi.
12 Pics: CAR 4 SALE, Gari ya kutembelea hii hapa, 16. Mil only MPYAAA! Inaingia Tzee next week..
CAR COME NEXT WEEK OUT OF THE PORT
COME PAY AND DRIVE!!!
SUZUKI ESCUDO 2004
Year 2004, 217 000 km, silver, 4WD
PRICE: 16, 200, 000 Tsh,
THE FIRST PEOPLE WHAT COME IN THE OFFICE, GET THIS CAR!!!! WE DON'T RESERVATION THIS CAR!!! Bofya kitufe cha STORY ZAIDI hapo chini Kucheck picha zaidi..
NU VIDEO: R.O.M.A Mkatoliki "2030" (Official)
Video iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki na wapenzi wa muziki wa Bongo Flavour imetoka, ni 2030 ya R.O.M.A ambayo track yake imekuwa GUMZO kita mpaka NOW ukiiskiza lazima ukae na kufikilia huyu jamaa kawaza nini na kwa nini anakosa WOGA.
Angali hapa kupitia AbraSon blog hapa!
VIDEO: Huyu ndio mtoto mwenye hisia, anaelia kila akiimbiwa huu wimbo, video yake imetazamwa zaidi ya mara milioni 15
Kutokana na udogo wa huyu mtoto na jinsi hisia
zinavyomteka mpaka kuanza kutoa machozi kutokana na mama yake kuimba nyimbo
ndio kilichofanya kila mmoja akimbilie kuitazama video hii na kufikia kutazamwa
zaidi ya mara milioni 15 na laki 8 toka imewekwa October 18 2013.
NU AUDIO: Cindy Rulz "LETS WAIT" Skiliza hapa
Hatimaye
ile ngoma tuliyokuwa tukiisubiri kwa hamu kutoka kwa female rapper maarufu kama
Cindy Rulz inayoitwa "LETS WAIT", ambayo amemshirikisha producer
Dunga imeshatoka tayari.
Oct 31, 2013
Ujio mpya wa Baby Madaha katika Filam ya Kiswahili
Baby Madaha anategemea kuja na FILAMU mpya inayokwenda kwa jina la THE GAL BLADDER..
Filamu hiyo inaweza kuachiwa hivi karibuni. BABY MADAHA amekuwa katika HeadLines mfululizo kwa siku za karibuni kutokana na mambo mengi anayoyafanya...
EXCLUSIVE: Post ya Kwanza baada ya marekebisho kwa hii Blogu
Niaje Tanzania, kutoka Abrangula Blog ya Abraham Mbungula, hii ni Abrason Blog ya Abraham Nelson... Mtu yule yule mtazamo mpya.. TUKAE PAMOJA HUMU..
Oct 17, 2013
MUHTASARI WA HABARI JANA HIGHLANDS FM
Mkazi wa kijiji cha
malangali wilaya ya rungwe mkoani mbeya maiko williad ameuawa kwa kukatwa mapanga
kichwani na kisha mwili wake kutupwa msituni.
Subscribe to:
Posts (Atom)





.jpg)











.jpg)
.jpg)









