Jan 12, 2014

MSIBA: TAJI Liundi afiwa na baba yake mzazi, R.I.P our papaa Jaji George Bakari Liundi



ATANGAZA TAARIFA LEO
TAARIFA YA MSIBA: Nasikitika kutangaza kifo cha Baba Mzazi Jaji George Bakari Liundi kilichotokea ghafla leo Jumapili saa 7 mchana. 
Msiba upo KEKO JUU KJ 60(Nyuma ya Mgulani Shule ya Msingi). 
Taratibu za mazishi zinaendelea. 
Mawasiliano: 0787 888 799.