Jan 12, 2014

KIFO cha Kagame, Wa2 wa Rwanda wafanya sherehe

Kwa masaa kadhaa Ijumaa nyakati za asubuhi, kulikuwa na fununu kuwa Rais wa Rwanda, Paul Kagame ameaga dunia na taarifa hizo zilienea hadi mji wa Goma Mashariki mwa Congo. Wengi walisherehekea baada ya kupata habari hizo.