Yeap!! That true Star anaeng'aa kwa sana hivi sasa nchini Tanzania,
Diamond Platnumz a.k.a Rais Wa Wasafi anarekodi video ya ngoma yake mpya
inayojulikana kama KESHO... what a simple title!!Diamond anaetamba hivi sasa na track + video ya Nataka Kulewa na nyinginezo za nyuma, katika hali ya kuleta utofauti u kufanya video kali zaidi, anarekodi video hiyo huko Nairobi, nchini Kenya. Kesho ni video mpya inayofanywa ana Diamond ambayo pia itawaonesha mastaa mbali mbali wa nchini humo...