Dec 10, 2012

Ray C: ASANTE RAISI

Ray C, Akiwa na raisi wa Tanzania Mh. J. M. Kikwete
Msanii wa kike wa kizazi kipya, Rehema Chalamila maarufu kama Ray C, amemshukuru sana raisi kwa kumsaidia kupona kwake.

Ray C ni moja kati ya watu waliokuwa waathirika wa madawa ya kulevya kupelekea afya zao kuwa mbaya..
Kushoto ni Bibi, Mh. Raisi, Ray C na Dada..