Nov 7, 2012

Mbeya: Kandoro atishia Kumtimua Mkandarasi wa wa barabara kwa kiwango cha rami wilayani Mbozi

Mkuu wa mkoa wa Mbeya ABASI KANDORO akiteta mambo na wakuu wa idara wa Mbozi mara baada ya kutembea kukagua ujenzi wa barabara.

 
Mkuu wa Mkoa ABASI KANDORO akitembelea barabara hiyo na kusema kutoa agizo la kurudiwa sababu haikizi vigezo.