Sep 3, 2012

WAANDISHI MBEYA WALAANI MAUAJI YA MWANGOSI

WAANDISHI na Wanachi mkoani Mbeya wamelaani vikali Mauaji ya Mwandishi wa habari wa Iringa Daudi Mwangosi,  aliyeuwawa Janai katika vurugu zilizotokea katika kijiji cha Nyororo mkoani humo.

Marehemu Mwangosi ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa Klabu yawaandishi wa habari mkoa wa Iringa pia alikuwa akifanya kazi katika kituo cha Chanel Ten aliuawa wakati akiripoti vurugu zilizotokea kijijini hapo baina ya  Chadema na Polisi.

 Huyu ni Mwenyekiti wa Chama Cha waandishi wa Habari Mkoa wa Mbeya,
Christopher Nyenyembe.