Sep 3, 2012

IZZO-B VIDEO SOON, MBEYA ALL STAR WATISHA

Izzo Bizness msanii wa hip hop kutoka Mbeya, baada ya kuachia video ya MWAKA JANA sasa yuko tayari kabisa kuachia video nyingine ambayo imebeba jina la UTARUDISHWA ambapo ndani ya wimbo huo amemshirikisha msanii kutoka Morogoro
Belle 9.


Video hii imetengenezwa na yule yule Director ambaye alifanya video ya mwaka jana anajulikana kwa jina la Nick Dizzo kutoka E-Media.

Wakati huo huo, wasanii kutoka Mbeya (Mbeya all star) wameachia bonge la video likisifia Green city ambayo imetengenezwa na Mashada inc, production kutoka Mbeya..

Kuangalia video ya Mbeya all star tembelea blog ya DJ Choka...................