Jun 14, 2017

Nimeipata InBox kwangu, Lol!

Mapenzi kama siasa, usipo ongea uongo hupati kura wala hapendwi mtu bila kitu na anaekuita baby ndio atakae kuita babu siku ukifulia, jipange mtu wangu maisha magumu na umri haurudi nyuma, hakuna tuzo za ngono zaidi ya UKIMWI. Acha tamaa na mapenzi yatakupoteza na usione unapendwa sana na wanawake au wanaume ukajiona ndo mwanaume/mwanamke bora kuliko wengine, huenda una nyota ya UKIMWI, Hii sms watumie wapiga misele kwa mademu/Wanaume wote, kwangu ilitumwa kimakosa. Hahahaa.. Ab.