Dec 21, 2012

OFA: EL-SHADDAI REKODI KWA NUSU GHARAMA

C.E.O George akiwa Maeneo ya Studio
C.E.O. wa El - Shaddai Record's, George David, waliopo Maghorofani kituo cha marolli karibu na kituo cha mafuta. Wametoa OFA maalumu ktk msimu huu wa X-Mas na Mwaka Mpya kwa kila Recording kwa nusu gharama.

Akiongea hilo katika mitandao yake binafsi na blog yao, amesema kuwa ametoa Ofa hiyo kwa ajili ya kila mtu  na ni kwa Nyimbo (audio), Matangazo na Jingles za aina zote kwa Nusu Gharama kama ilivokuwa kawaida.

Na huu ni moja kati ya ujumbe ulioandikwa na CEO huyo ktk FaceBook.. "NATOA OFFER KURECORD KWA NUSU GHARAMA KWA MEMBER YOYOTE WA EL SHADDAI RECORDZ AMBAYE ANAIMBA MUZIKI WA AINA YOYOTE KTK MSIMU HUU WA X - MASS NA MWAKA MPYA.KARIBUNI SANA"..

Mawasiliano yao ni 0752 513 276. Mnakaribishwa.