Dec 2, 2012

KIMIRO STAR MAISHA PLUS

Mwanadada Bereniki Kimiro (Your New Maisha Plus Star)
Bereniki Kimiro ndiye ametangazwa kuwa mshindi wa Maisha Plus kwa mwaka 2012 kwa kuwashinda wenzake.

Nafasi ya pili imechukuliwa na Venance Kimaro na nafasi ya tatu imekwenda kwa Justine ambaye anatoka mkoani Dodoma.