Dec 7, 2012

ALICHOKISEMA MBASHA BOY KUHUSU SUGU NA WIMBO WAKE MPYA

"Hakuna matata ya Sugu ni moja kati ya ngoma kali za HIPHOP ambapo napenda kumpongeza sana kwa kazi nzuri hiyo" Alisema Mbuza..

Pia alimpongeza sana Sugu kwa kuwakuwakumbuka wakazi wa jiji la Mbeya na vijana kwa ujumla katika nyanja zote..
Allen Mbuza (Mbasha Boy)
Mr. II Sugu
Mtangazaji huyo wa kituo cha redio cha Sweet FM, Mkoani Mbeya, Mbasha Boy (Allen Mbuza) ambaye kwa sasa yupo Dar ktk masomo aliongea hayo kwa njia ya simu na mhariri wa blog hii na kutoa pongezi hizo..

Sionekani sana Dar sababu nakuwa jimboni, ni moja kati ya Punch line alizozipenda..