Nov 26, 2012

Rest In Peace SHARO BILIONEA

Msanii, Muigizaji, Mchekeshaji Hussein Ramadhani aka Sharo Bilionea amepata ajali ya gari akiwa anaendesha mwenyewe Toyota Harrier akitoka Dar kwenda Muheza kwao.

Kamanda wa polisi mkoani Tangawamethibitisha kifo chake kutokana na vitambulisho alivyokutwa navyo pia taarifa kutoka kwa rafiki yake Diwani Seif Makame amesema ajali hiyo imetokea mida ya saaa Mbili leo...


Rest in Peace Brother..