Nov 9, 2012

JINSI WALTER ALIVYOSHINE

Mshindi wa pili Salma akiwa jukwaani kuonyesha uwezo wake
Mada akimuweka sawa jaji Master J.
Baada ya Washiriki 2 kutoka wakabaki Top 3, Yeye, Salma na Wababa.
Ben Pol akimtuza Walter wakati akiimba nyimbo yake-Nikikupata.
Wakisubiri kutangazwa mshindi baada ya kubaki wa2.
CCO wa Zantel akitaka kutaja MSHINDI.
Hii ndio top 5 iliyoperfom jana.
Madam akimjaji Walter
Baada ya kutangazwa mshindi, Walter ali... ni hisia za kutoamini
Alishikiliwa akikabidhiwa huku mchozi ukimshuka.
Akikabidhiwa zawadi, hata hakuamini machozi tuu.
Kumbe alipendwa sana tukiachana na mbwembwe za yule.
Washereheshaji.
Shabiki walikuwa nyomi.
Walter akirushiwa pesa jukwaani
Walter alipopanda stage na Ditto.