![]() |
| Mshindi wa pili Salma akiwa jukwaani kuonyesha uwezo wake |
![]() |
| Mada akimuweka sawa jaji Master J. |
![]() |
| Baada ya Washiriki 2 kutoka wakabaki Top 3, Yeye, Salma na Wababa. |
![]() |
| Ben Pol akimtuza Walter wakati akiimba nyimbo yake-Nikikupata. |
![]() |
| Wakisubiri kutangazwa mshindi baada ya kubaki wa2. |
![]() |
| CCO wa Zantel akitaka kutaja MSHINDI. |
![]() |
| Hii ndio top 5 iliyoperfom jana. |
![]() |
| Madam akimjaji Walter |
![]() |
| Baada ya kutangazwa mshindi, Walter ali... ni hisia za kutoamini |
![]() |
| Alishikiliwa akikabidhiwa huku mchozi ukimshuka. |
![]() |
| Akikabidhiwa zawadi, hata hakuamini machozi tuu. |
![]() |
| Kumbe alipendwa sana tukiachana na mbwembwe za yule. |
![]() |
| Washereheshaji. |
![]() |
| Shabiki walikuwa nyomi. |
![]() |
| Walter akirushiwa pesa jukwaani |
![]() |
| Walter alipopanda stage na Ditto. |















