Dec 6, 2013

Maswali ya Mike Tee facebook: kauliza kipi bora kati ya hivi


Maswali ya facebook: Mike Tee kauliza kipi bora kati ya hivi?

MKE/MME MWEMA ATAKAE KUPENDA NA KUKUTHAMINI LAKINI UKAWA HUNA PESA.  AU UWE NA PESA LAKINI UKAKOSA MKE/MME MWENYE MAPENZI YA DHATI?

Dec 5, 2013

HISTORIA: Mandela tangu kuzaliwa hadi kufariki dunia, Pumzika kwa amani, 1918 - 2013


Mzee Nelson Mandela aliyefariki dunia usiku wa 05/12/2013, alizaliwa mwaka 1918 na hatimaye kuwa rais wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini baada ya kuongoza mapambano ya muda mrefu dhidi ya utawala wa kibaguzi wa makaburu.
Mandela ambaye nchini Afrika Kusini anajulikana kwa jina la MADIBA, alifungwa jela kwa kipindi cha miaka 27 katika kisiwa cha Robben kutokana na harakati zake za kupinga ubaguzi wa rangi na kupigania uhuru wa nchi ya Afrika Kusini.
Baada ya kuachiwa kwake huru Februari 11 mwaka 1990 alihamasisha siasa za amani na suluhu, suala ambalo lilirahisisha mchakato wa kuiondoa Afrika Kusini katika utawala wa wazungu wachache na kuelekea kwenye demokrasia.

Nov 28, 2013

NEW Video: Lolilo feat. Ali Kiba "MANENO MATAMU"

VIDEO: EBSS kutoa namna pesa ya mshindi itakavyo tumika, ni kutokana na malalamiko ya mashabiki, Check na hii Video

WAKATI tukielekea katika FINALE za mashindano hayo, mkakati mpya umetangazwa wa namna ya kutumiazawadi kwa mshindi. Madam Rita ameahidi kuwa pamoja na kuwa pesa atakayopata mshindi kuwa atatumia katika matumizimengine ya kujikimu, Steal atapangiwa na mna ya kutumia fedha hizo kujiendeleza kimuziki.

Lil Stiggar ft Chris Daniel - Stress Free {Official Video}

Nov 25, 2013

Check alivyoahidi AmmyChiba (Amina Chibaba) wa EBSS kuhusu yeye kufika alipo, ilikuwa Audition za Mbeya akilonga na Abby

Ammina Chibaba aliyeingia FINAL katika mashindano haya ya EBSS 2013, bado anahitaji kura yako ili kufanikisha alichokusudia.. VIDEO hii alikuwa anaongea na Abraham Abby NM wa ABRANGULA blog.. Checknayo kisha endelea kuandika KURA 03 kisha tuma kwenda namba 15530

Nov 20, 2013

NU Audio & Video: Kala Ft Nay Lee "WALE WALE"

DIAMOND Platnumz akanusha story zilizosambaa kuwa anatarajia kufanya show nchini Belgium Tar. 7

Katika ukurasa wake wa FaceBook, Diamond ameandika hivii...
!!! ATTENTION!!! kuna taarifa zinazidi kuenea kuwa Tareh 07/12/2013 eti nitakuwa na Show mjini Brussels nchini Belgium... taarifa hizi ni za UONGO! Yaani SIKWELI!! sina makubaliano na mtu wala kampuni yoyote kuhusu kufanya show Tareh hiyo nchini humo.... so Washabiki zangu pendwa tafadhari chunga msiibiwe, mimi sintokuwepo..

Nov 15, 2013

PICS:Hizi ni zaidi ya Catoon, EAC siisomi..

Mourad wa Azam: Siamini kuitwa TAIFA STARS


BEKI wa kati wa Azam FC, Said Mourad maarufu kama ‘Mweda’, amesema kuwa hakutarajia kabisa kuitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, baada ya kuumia kifundo cha mguu wakati akiichezea timu ya pili ya taifa.
Mourad ameeleza kuwa ameumia kifundo cha mguu ambacho aligongwa na Sure Boy, Salum Abubakar wa Azam, ambaye pia alichezea Taifa Stars.

Nov 12, 2013

VIDEO: Hope Samwel, ABUDU na huyu kaka katika mpya hii kutoka kwake, Enjoy da Video...

Anaitwa Mwinjilisti HOPE SAMWEL MWAMAKULA, Ni moja kati yaWaimbaji wa dini walowahi kuvuma na nyimo kama Uhimidiwe Jehova iliyokuwa katika Album yake iliyopita AMEKUONA.

Wimbo huu wa KUABUDU unaitwa BWANA YESU NAKUPENDA na hii ni VIDEO ya huo wimbo.. Bofya kitufe cha hapo katikat kuitazama...

Zifuatazo ni moja kati ya Picha zilizotokana na Video hiyo. Bofya STORY ZAIDI>> Kuziona.

Nov 11, 2013

NeyLee kapata SHAVU, anapiga ngoma moja na Kala Jeremiah, Video na Audio Date of 20th

Ni ngoma mpya ya Kala Jeremiah inaitwa WALEWALE, itatoka pamoja na Audio yake tarehe 20.11.2013. Stay Tuned...

NU VIDEO: Walter Chilambo "MiNiWako" (Official)

MSHINDI wa EBSS mwaka jana, Walter Chilambo, ambaye amevuma kwa vibao vyake vikali mwaka huu SIACHI na DORO, Kwa mara ya kwanza ameachia New Track wic Video "MI NI WAKO"
ENJOY da Good MUSIC.

Nov 10, 2013

Hii ni zaidi ya Catoon: 1st round VPL Imeeisha hivi

SIKU moja baada ya mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kumalizika, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limezipongeza timu 14 zinazoshiriki ligi hiyo kutokana na kuonesha ushindani mkubwa.
Check na hii CATOON, Vinara walivyoshushwa na YANGA..